Psalms 30:11-12


11 aUligeuza maombolezo yangu kuwa kucheza,
ulinivua nguo za gunia ukanivika shangwe,

12 bili moyo wangu uweze kukusifu na usikae kimya.
Ee Bwana Mwenyezi Mungu wangu, nitakushukuru milele.
Copyright information for SwhKC